589- Anas (Radhiya Allaahu ´anh) amesema kuhusu maneno Yake (Ta´ala):
تَتَجَافَىٰ جُنُوبُهُمْ عَنِ الْمَضَاجِعِ
“Mbavu zao zinaachana na vitanda.”[1]
“Imeteremshwa juu ya kusubiri swalah inayoitwa “´Atamah”.”[2]
Ameipokea at-Tirmidhiy ambaye amesema:
“Hadiyth ni nzuri, Swalah na geni.”
Kwa Abu Daawuud imekuja:
“Walikuwa wakibaki macho kati ya Maghrib na ´Ishaa wakiswali.”[3]
al-Hasan[4] amesema:
“Inazungumzia kisimamo cha usiku.”
[1] 32:16
[2] Swahiyh.
[3] Swahiyh.
[4] Bi maana al-Hasan al-Baswriy.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (01/382)
- Imechapishwa: 30/03/2021
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
589- Anas (Radhiya Allaahu ´anh) amesema kuhusu maneno Yake (Ta´ala):
تَتَجَافَىٰ جُنُوبُهُمْ عَنِ الْمَضَاجِعِ
“Mbavu zao zinaachana na vitanda.”[1]
“Imeteremshwa juu ya kusubiri swalah inayoitwa “´Atamah”.”[2]
Ameipokea at-Tirmidhiy ambaye amesema:
“Hadiyth ni nzuri, Swalah na geni.”
Kwa Abu Daawuud imekuja:
“Walikuwa wakibaki macho kati ya Maghrib na ´Ishaa wakiswali.”[3]
al-Hasan[4] amesema:
“Inazungumzia kisimamo cha usiku.”
[1] 32:16
[2] Swahiyh.
[3] Swahiyh.
[4] Bi maana al-Hasan al-Baswriy.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (01/382)
Imechapishwa: 30/03/2021
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-walikuwa-wakibaki-macho-kati-ya-maghrib-na-ishaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)