268 – ´Uthmaan bin ´Affaan (Radhiya Allaahu ´anh) alisema wakati watu walimsema pindi alipojenga msikiti wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
:إنكم أكثرتُم ، وإنّي سمعتُ رسولَ الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ – يقول
مَن بنى مسجداً -[قال بُكير: حسِبتُ أنّه قال:] يبتغي به وجهَ الله-؛ بنى الله له بيتاً في الجنة
“Mmekithirisha. Hakika mimi nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema: “Yeyote atakayejenga msikiti [Bukayr amesema: “Nadhani alisema:] hali ya kuwa ni mwenye kukusudia uso wa Allaah, basi Allaah atamjengea nyumba Peponi.”[1]
Imekuja katika upokezi mwingine:
“… basi Allaah atamjengea mfano wake Peponi.”
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim na wengineo.
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Imechapishwa: 09/03/2022
- Taaliki: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/225-226)
268 – ´Uthmaan bin ´Affaan (Radhiya Allaahu ´anh) alisema wakati watu walimsema pindi alipojenga msikiti wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
:إنكم أكثرتُم ، وإنّي سمعتُ رسولَ الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ – يقول
مَن بنى مسجداً -[قال بُكير: حسِبتُ أنّه قال:] يبتغي به وجهَ الله-؛ بنى الله له بيتاً في الجنة
“Mmekithirisha. Hakika mimi nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema: “Yeyote atakayejenga msikiti [Bukayr amesema: “Nadhani alisema:] hali ya kuwa ni mwenye kukusudia uso wa Allaah, basi Allaah atamjengea nyumba Peponi.”[1]
Imekuja katika upokezi mwingine:
“… basi Allaah atamjengea mfano wake Peponi.”
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim na wengineo.
[1] Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Imechapishwa: 09/03/2022
Taaliki: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/225-226)
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-yeyote-atakayejenga-msikiti/