276 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
أنّ امرأةً سوداء كانت تَقُمُّ المسْجد، ففقدها رسولُ الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ -، فسأل عنها بعد أيام، فقيل له: إنّها ماتت. فقال: “فهلا آذنتُمُوني؟ ” فأتى قبرها، فصلّى عليها.
“Kuna mwanamke mweusi alikuwa akisafisha msikiti. Baada ya masiku kadhaa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akamkosa na akamuulizia. Akaambiwa kuwa amekufa. Ndipo akasema: “Basi ni kwa nini hamkunijuza?” Akaliendelea kaburi lake na kuswalia.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim na Ibn Maajah kwa cheni ya wapokezi Swahiyh. Tamko ni lake. Imekuja kwa Ibn Khuzaymah:
إنّ امرأةً كانت تَلْتَقِط الخِرَقَ والعِيدانَ مِن المسجد
“Kuna mwanamke alikuwa akisafisha vitambaa na vijiti msikitini.”[2]
[1] Swahiyh.
[2] Nzuri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/230)
- Imechapishwa: 24/10/2022
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
276 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
أنّ امرأةً سوداء كانت تَقُمُّ المسْجد، ففقدها رسولُ الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ -، فسأل عنها بعد أيام، فقيل له: إنّها ماتت. فقال: “فهلا آذنتُمُوني؟ ” فأتى قبرها، فصلّى عليها.
“Kuna mwanamke mweusi alikuwa akisafisha msikiti. Baada ya masiku kadhaa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akamkosa na akamuulizia. Akaambiwa kuwa amekufa. Ndipo akasema: “Basi ni kwa nini hamkunijuza?” Akaliendelea kaburi lake na kuswalia.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim na Ibn Maajah kwa cheni ya wapokezi Swahiyh. Tamko ni lake. Imekuja kwa Ibn Khuzaymah:
إنّ امرأةً كانت تَلْتَقِط الخِرَقَ والعِيدانَ مِن المسجد
“Kuna mwanamke alikuwa akisafisha vitambaa na vijiti msikitini.”[2]
[1] Swahiyh.
[2] Nzuri.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/230)
Imechapishwa: 24/10/2022
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-kuna-mwanamke-mweusi-alikuwa-akisafisha-msikiti/