Abul-Qaasim amesema: Abu Muhammad Harb bin Ismaa´iyl ametuhadithia:
Hii ni ´Aqiydah ya maimamu wa elimu, Ahl-ul-Athar na Ahl-us-Sunnah, wanaotambulika na kufuatwa kwayo – kuanzia kwa Maswahabah wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mpaka hii leo. Wale wanazuoni niliokutana nao huko ´Iraaq, Hijaaz, Shaam na kwenginepo wako juu yake. Yeyote anayekwenda kinyume na I´tiqaad hizi, akawachafua au akawakosoa wenye nayo, basi huyo ni mzushi ambaye ameacha Mkusanyiko na amepinda kutokamana na mwenendo wa Sunnah na njia ya haki.
- Muhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 33-34
- Imechapishwa: 23/05/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)