Swali: Mimi ni kijana sina uwezo wa kuoa kutokana na hali ya kifedha. Je, nina thawabu kwa kusubiri kwangu juu ya jambo hili?
Jibu: Ndio. Usisahau maneno ya Allaah (Ta´ala):
وَلْيَسْتَعْفِفِ الَّذِينَ لَا يَجِدُونَ نِكَاحًا حَتَّىٰ يُغْنِيَهُمُ اللَّـهُ مِن فَضْلِهِ
“Wajizuie na machafu wale ambao hawapati uwezo wa ndoa mpaka Allaah awatajirishe katika fadhilah Zake.” (24:33)
Akifanya aliyomuamrisha Allaah ana ujira.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15082
- Imechapishwa: 20/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket