Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kuswali ilihali vitanga vya mikono viko wazi?
Jibu: Ni wajibu. Mwanamke hatakiwi kuonesha kitu isipokuwa uso wake ikiwa kama hakuna mwanaume ambaye sio Mahram wake. Viungo vingine vilivyobaki anatakiwa kuvifunika.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-15.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kuswali ilihali vitanga vya mikono viko wazi?
Jibu: Ni wajibu. Mwanamke hatakiwi kuonesha kitu isipokuwa uso wake ikiwa kama hakuna mwanaume ambaye sio Mahram wake. Viungo vingine vilivyobaki anatakiwa kuvifunika.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-15.mp3
Imechapishwa: 11/11/2014
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-mwanamke-kuswali-mikono-wazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)