Swali: Alitoa zawadi kumpa fulani ilihali alikuwa amekusudia kumpa mwingine.
Jibu: Haifai kwake kurejesha zawadi. Isipokuwa baba kile anachompa mtoto wake.
Swali: Ampe mwingine?
Jibu: Hapana, haifai kwake kuirejesha. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kurejesha zawadi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23722/هل-يجوز-الرجوع-في-الاعطية
- Imechapishwa: 12/04/2024
Swali: Alitoa zawadi kumpa fulani ilihali alikuwa amekusudia kumpa mwingine.
Jibu: Haifai kwake kurejesha zawadi. Isipokuwa baba kile anachompa mtoto wake.
Swali: Ampe mwingine?
Jibu: Hapana, haifai kwake kuirejesha. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kurejesha zawadi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23722/هل-يجوز-الرجوع-في-الاعطية
Imechapishwa: 12/04/2024
https://firqatunnajia.com/zawadi-iliyokwishatolewa-hairejeshwi/