Swali: Mtu kutoka katika masharifu analo deni. Je, inafaa kwake kuchukua swadaqah au zakaah?
Jibu: Anaweza kuchukua swadaqah lakini si zakaah. Anapewa kutoka katika swadaqah na si zakaah. Ikiwa ni kutoka ukoo wa wana wa Haashim, anapewa kutoka katika swadaqah na si zakaah.
Swali: Ikiwa kuna dharurah?
Jibu: Kama inafaa kwake kula nyamafu basi zakaah itakuwa ni halali kwake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24656/حكم-الزكاة-لرجل-من-الاشراف-عليه-دين
- Imechapishwa: 22/11/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket