Swali 328: Kutoa zakaah kwa ajili ya kumvutia mtu katika Uislamu ni jambo maalum kwa kiongozi tu au ni kwa kila mtu?
Jibu: Ni jambo lenye kuenea. Ni sawa ikiwa mtu atajua kuwa huyu anastahiki hilo na akamvutia ili kumsaidia kuingia kwake katika Uislamu au kumzuia madhara yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 117
- Imechapishwa: 29/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket