Swali 328: Kutoa zakaah kwa ajili ya kumvutia mtu katika Uislamu ni jambo maalum kwa kiongozi tu au ni kwa kila mtu?
Jibu: Ni jambo lenye kuenea. Ni sawa ikiwa mtu atajua kuwa huyu anastahiki hilo na akamvutia ili kumsaidia kuingia kwake katika Uislamu au kumzuia madhara yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 117
- Imechapishwa: 29/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 328: Kutoa zakaah kwa ajili ya kumvutia mtu katika Uislamu ni jambo maalum kwa kiongozi tu au ni kwa kila mtu?
Jibu: Ni jambo lenye kuenea. Ni sawa ikiwa mtu atajua kuwa huyu anastahiki hilo na akamvutia ili kumsaidia kuingia kwake katika Uislamu au kumzuia madhara yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 117
Imechapishwa: 29/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/zakaah-kumvutia-mtu-kuingia-katika-uislamu/