327 – Shaykh wetu aliulizwa tarehe 9/6/1409 kuhusu kutoa zakaah kwa ajili ya Mujaahiduun wa Afghanistan:
Jibu: Msingi wa zakaah ni kuitoa ndani ya nchi aliko. Lakini ikiwa kuna haja ya kuiagiza basi hapana vibaya.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 117
- Imechapishwa: 29/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
327 – Shaykh wetu aliulizwa tarehe 9/6/1409 kuhusu kutoa zakaah kwa ajili ya Mujaahiduun wa Afghanistan:
Jibu: Msingi wa zakaah ni kuitoa ndani ya nchi aliko. Lakini ikiwa kuna haja ya kuiagiza basi hapana vibaya.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 117
Imechapishwa: 29/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/zakaah-kwenda-kwa-wapambanaji-jihaad-nje-ya-nchi/