Swali: Kuna mtu hutoa zakaah kwa ajili ya mshahara wake. Ametenga mwezi maalum wa kufanya hivo kama vile Ramadhaan. Pasi na kujali ana kitu kikubwa au kidogo inapofika Ramadhaan basi hukitolea zakaah. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ni vizuri na hakuna neno mtu akatenga mwezi fulani kwa ajili ya kutoa zakaah yake. Unapofika mwezi huo basi anakusanya ile mali alionayo na kuitolea zakaah. Anaweza pia kuitolea zakaah ile pesa ambayo haijafikisha mwaka. Uharakishaji huu haudhuru kitu. Uharakishaji huu aliotaja unawanufaisha mafukara.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/179-180)
- Imechapishwa: 07/05/2021
Swali: Kuna mtu hutoa zakaah kwa ajili ya mshahara wake. Ametenga mwezi maalum wa kufanya hivo kama vile Ramadhaan. Pasi na kujali ana kitu kikubwa au kidogo inapofika Ramadhaan basi hukitolea zakaah. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ni vizuri na hakuna neno mtu akatenga mwezi fulani kwa ajili ya kutoa zakaah yake. Unapofika mwezi huo basi anakusanya ile mali alionayo na kuitolea zakaah. Anaweza pia kuitolea zakaah ile pesa ambayo haijafikisha mwaka. Uharakishaji huu haudhuru kitu. Uharakishaji huu aliotaja unawanufaisha mafukara.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/179-180)
Imechapishwa: 07/05/2021
https://firqatunnajia.com/zakaah-katika-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket