Swali: Ni ipi tafsiri sahihi kuhusu maneno Yake Allaah (Ta´ala):
وَلِلَّـهِ الْمَثَلُ الْأَعْلَىٰ
”Allaah ana wasifu wa juu kabisa.”[1]
Jibu: Maana yake ni wasifu wa juu kabisa ambaye hafanani na chochote:
لَيْسَ كَمِثْلِهِ شَيْءٌ ۖوَهُوَ السَّمِيعُ الْبَصِيرُ
“Hakuna chochote kinachofanana Naye – Naye ni Mwenye kusikia yote, Mwenye kuona yote.”[2]
Hakika Yeye (Ta´ala) ana sifa za juu kabisa, kwa msemo mwingine wasifu wa juu kabisa. Hakuna chochote mfano wake. Yeye (Subhaanahu wa Ta´ala) ni mkamilifu katika dhati, majina, sifa na matendo Yake.
[1] 16:60
[2] 42:11
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31203/ما-تفسير-قوله-تعالى-ولله-المثل-الاعلى
- Imechapishwa: 16/10/2025
Swali: Ni ipi tafsiri sahihi kuhusu maneno Yake Allaah (Ta´ala):
وَلِلَّـهِ الْمَثَلُ الْأَعْلَىٰ
”Allaah ana wasifu wa juu kabisa.”[1]
Jibu: Maana yake ni wasifu wa juu kabisa ambaye hafanani na chochote:
لَيْسَ كَمِثْلِهِ شَيْءٌ ۖوَهُوَ السَّمِيعُ الْبَصِيرُ
“Hakuna chochote kinachofanana Naye – Naye ni Mwenye kusikia yote, Mwenye kuona yote.”[2]
Hakika Yeye (Ta´ala) ana sifa za juu kabisa, kwa msemo mwingine wasifu wa juu kabisa. Hakuna chochote mfano wake. Yeye (Subhaanahu wa Ta´ala) ni mkamilifu katika dhati, majina, sifa na matendo Yake.
[1] 16:60
[2] 42:11
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31203/ما-تفسير-قوله-تعالى-ولله-المثل-الاعلى
Imechapishwa: 16/10/2025
https://firqatunnajia.com/yeye-ndiye-mwenye-sifa-za-juu-kabisa/