Swali: Kuna mtu wudhuu´ wake ulichenguka wakati alipokuwa anafanya mzunguko wa tano kwenye Nyumba. Je, atawadhe upya na aanze kutufu upya?
Jibu: Ndio, kwa sababu Twawaaf yake imebatilika. Mizunguko yake ya kabla imebatilika kwa kuchenguka kwa wudhuu´ wake. Atawadhe na aanze kutufu upya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (91) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-22-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 12/08/2018
Swali: Kuna mtu wudhuu´ wake ulichenguka wakati alipokuwa anafanya mzunguko wa tano kwenye Nyumba. Je, atawadhe upya na aanze kutufu upya?
Jibu: Ndio, kwa sababu Twawaaf yake imebatilika. Mizunguko yake ya kabla imebatilika kwa kuchenguka kwa wudhuu´ wake. Atawadhe na aanze kutufu upya.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (91) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-22-7-1439.mp3
Imechapishwa: 12/08/2018
https://firqatunnajia.com/wudhuu-umechenguka-katika-mzunguko-wa-tano-katika-nyumba/