Swali: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kwa Khatwiyb kuja mapema siku ya ijumaa ili aweze kupata thawabu zilizotajwa katika Hadiyth:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amelinganisha yule mwenye kuja katika swalah ya ijumaa mapema ni kama ambaye amechinja ngamia, kisha kama ambaye amechinja ng´ombe, kisha kama ambaye amechinja kondoo mpaka alipotaja kuku.”
au anatakiwa aje kabla ya Khutbah?
Jibu: Sunnah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni kwamba alikuwa akija wakati wa Khutbah. Aanze moja kwa moja Khutbah. Hahitajii kuswali Tahiyyat-ul-Masjid.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (91) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-22-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 12/08/2018
Swali: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kwa Khatwiyb kuja mapema siku ya ijumaa ili aweze kupata thawabu zilizotajwa katika Hadiyth:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amelinganisha yule mwenye kuja katika swalah ya ijumaa mapema ni kama ambaye amechinja ngamia, kisha kama ambaye amechinja ng´ombe, kisha kama ambaye amechinja kondoo mpaka alipotaja kuku.”
au anatakiwa aje kabla ya Khutbah?
Jibu: Sunnah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni kwamba alikuwa akija wakati wa Khutbah. Aanze moja kwa moja Khutbah. Hahitajii kuswali Tahiyyat-ul-Masjid.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (91) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-22-7-1439.mp3
Imechapishwa: 12/08/2018
https://firqatunnajia.com/wakati-ambao-khatwiyb-anatakiwa-kuingia-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)