Muda [wa kupangusa juu ya soksi] ukiisha ilihali bado uko na twahara, wudhuu’ wako bado ukingaliki palepale. Wudhuu’ wako haukatiki. Lakini hata hivyo utapotaka kutawadha baada ya muda kumalizika, ni lazima uoshe miguu yako.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/113)
- Imechapishwa: 14/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)