Swali: Ni yapi moani yako kwa mwenye kusimama kuswali Witr. Alipoanza kusoma al-Faatihah adhaana ya Fajr ikaadhiniwa. Je, Witr yake ni sahihi?
Jibu: Ndio, aikamilishe. Akamilishe Witr yake. Maadamu amekabiri kabla ya kuingia kwa Fajr na alfajiri imemwingilia hali ya kuwa yuko ndani ya swalah, akamilishe Witr yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (16) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-10-29.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Ni yapi moani yako kwa mwenye kusimama kuswali Witr. Alipoanza kusoma al-Faatihah adhaana ya Fajr ikaadhiniwa. Je, Witr yake ni sahihi?
Jibu: Ndio, aikamilishe. Akamilishe Witr yake. Maadamu amekabiri kabla ya kuingia kwa Fajr na alfajiri imemwingilia hali ya kuwa yuko ndani ya swalah, akamilishe Witr yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (16) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-10-29.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/witr-ya-huyu-ni-sahihi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)