Swali: Ni ipi hukumu ya mtu kuanza kumsalimia kafiri?
Jibu: Haijuzu. Ni haramu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Msianze kuwapa mayahudi na manaswara salamu. Wakikusalimieni waambieni: “Nanyi pia.” Ibn Maajah (2999). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy.
Swali: Inajuzu kuanza kumsalimia kafiri kwa isiyokuwa salamu kama kumwambia “Khabari ya asubuhi?”
Jibu: Huku pia ni kumsalimia hata kama matamshi yatatofautiana. Wewe usianze kumsalimia. Lakini yeye akianza kukusalimia na wewe muitikie.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya mtu kuanza kumsalimia kafiri?
Jibu: Haijuzu. Ni haramu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Msianze kuwapa mayahudi na manaswara salamu. Wakikusalimieni waambieni: “Nanyi pia.” Ibn Maajah (2999). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy.
Swali: Inajuzu kuanza kumsalimia kafiri kwa isiyokuwa salamu kama kumwambia “Khabari ya asubuhi?”
Jibu: Huku pia ni kumsalimia hata kama matamshi yatatofautiana. Wewe usianze kumsalimia. Lakini yeye akianza kukusalimia na wewe muitikie.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/wewe-usiwe-wa-kwanza-kumsalimia-kafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)