Swali: Leo kuna wanaosema kuwa tofauti katika mlango wa majina na sifa za Allaah sio jambo muhimu; ni mamoja ukathibitisha sifa miongoni mwa sifa au ukakanusha kwamba hilo halipelekei katika chochote katika hayo na akatoa mifano.
Jibu: Huyu yeye ndiye si muhimu. Huyu aliyesema hivi ndiye si muhimu. Mambo haya ni miongoni mwa mambo muhimu zaidi. Kwa sababu ni miongoni mwa misingi mikubwa ya dini na ya ´Aqiydah. Huyu anazungumza mambo asiyoyajua au anakusudia upotevu na tunaomba kinga kwa Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17404
- Imechapishwa: 07/12/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket