Swali: Leo kuna wanaosema kuwa tofauti katika mlango wa majina na sifa za Allaah sio jambo muhimu; ni mamoja ukathibitisha sifa miongoni mwa sifa au ukakanusha kwamba hilo halipelekei katika chochote katika hayo na akatoa mifano.
Jibu: Huyu yeye ndiye si muhimu. Huyu aliyesema hivi ndiye si muhimu. Mambo haya ni miongoni mwa mambo muhimu zaidi. Kwa sababu ni miongoni mwa misingi mikubwa ya dini na ya ´Aqiydah. Huyu anazungumza mambo asiyoyajua au anakusudia upotevu na tunaomba kinga kwa Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17404
- Imechapishwa: 07/12/2017
Swali: Leo kuna wanaosema kuwa tofauti katika mlango wa majina na sifa za Allaah sio jambo muhimu; ni mamoja ukathibitisha sifa miongoni mwa sifa au ukakanusha kwamba hilo halipelekei katika chochote katika hayo na akatoa mifano.
Jibu: Huyu yeye ndiye si muhimu. Huyu aliyesema hivi ndiye si muhimu. Mambo haya ni miongoni mwa mambo muhimu zaidi. Kwa sababu ni miongoni mwa misingi mikubwa ya dini na ya ´Aqiydah. Huyu anazungumza mambo asiyoyajua au anakusudia upotevu na tunaomba kinga kwa Allaah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17404
Imechapishwa: 07/12/2017
https://firqatunnajia.com/wewe-ndo-si-muhimu/