Swali: Ni namna gani tunatakiwa kutangamana na wale wasiokuwa na elimu katika Ahl-ul-Bid´ah katika miji ya makafiri?
Jibu: Wafunzeni Sunnah na muwakataze Bid´ah. Wasipokubali basi wakateni na wala msishirikiane nao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (96)
- Imechapishwa: 30/08/2020
Swali: Ni namna gani tunatakiwa kutangamana na wale wasiokuwa na elimu katika Ahl-ul-Bid´ah katika miji ya makafiri?
Jibu: Wafunzeni Sunnah na muwakataze Bid´ah. Wasipokubali basi wakateni na wala msishirikiane nao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (96)
Imechapishwa: 30/08/2020
https://firqatunnajia.com/watu-wasiokuwa-wa-ahl-ul-bidah-katika-miji-ya-makafiri/