Swali: Ni namna gani tunatakiwa kutangamana na wale wasiokuwa na elimu katika Ahl-ul-Bid´ah katika miji ya makafiri?
Jibu: Wafunzeni Sunnah na muwakataze Bid´ah. Wasipokubali basi wakateni na wala msishirikiane nao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (96)
- Imechapishwa: 30/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)