Swali: Baadhi ya watu wanaisema vibaya baadhi ya miji. Je, inazingatiwa ni usengenyi?
Jibu: Usengenyi ni kumsema vibaya mtu maalum. Kusema kwa ujumla sio usengenyi.
Swali: Kwa mfano wakisema nchi fulani…
Jibu: Kusema kuwa baadhi ya watu wanafanya kadhaa na baadhi ya watu wa mji fulani wanafanya hivi. Huku sio kusengenya. Isipokuwa akisema fulani mwana wa fulani. Ninachotaka kusema ni kwamba asipotaja jina sio usengenyi. Kutaja mji fulani haidhuru.
Swali: Wanawatia aibu watu wa nchi fulani?
Jibu: Kutaja nchi haiwi usengenyi. Usengenyi ni pale anapomtaja mtu kwa dhati yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23214/هل-من-الغيبة-التنكيت-على-بعض-البلدان
- Imechapishwa: 28/11/2023
Swali: Baadhi ya watu wanaisema vibaya baadhi ya miji. Je, inazingatiwa ni usengenyi?
Jibu: Usengenyi ni kumsema vibaya mtu maalum. Kusema kwa ujumla sio usengenyi.
Swali: Kwa mfano wakisema nchi fulani…
Jibu: Kusema kuwa baadhi ya watu wanafanya kadhaa na baadhi ya watu wa mji fulani wanafanya hivi. Huku sio kusengenya. Isipokuwa akisema fulani mwana wa fulani. Ninachotaka kusema ni kwamba asipotaja jina sio usengenyi. Kutaja mji fulani haidhuru.
Swali: Wanawatia aibu watu wa nchi fulani?
Jibu: Kutaja nchi haiwi usengenyi. Usengenyi ni pale anapomtaja mtu kwa dhati yake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23214/هل-من-الغيبة-التنكيت-على-بعض-البلدان
Imechapishwa: 28/11/2023
https://firqatunnajia.com/watu-wa-nchi-fulani-wana-tabia-kadhaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)