Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kuwapa udhuru washirikina ambao wanaishi kati ya waislamu na wanafanya shirki za wazi na wanasema “hawa ni waislamu wajinga”?
Jibu: Ni waislamu wajinga ilihali ni washirikina? Vipi watakuwa waislamu wajinga? Hawa ni makafiri washirikina. Sio wajinga. Wanasikia Qur-aan na wamejua kuja kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Sio wajinga. Ni wakaidi. Watu hawa ni wakaidi na sio wajinga.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-5-9.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kuwapa udhuru washirikina ambao wanaishi kati ya waislamu na wanafanya shirki za wazi na wanasema “hawa ni waislamu wajinga”?
Jibu: Ni waislamu wajinga ilihali ni washirikina? Vipi watakuwa waislamu wajinga? Hawa ni makafiri washirikina. Sio wajinga. Wanasikia Qur-aan na wamejua kuja kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Sio wajinga. Ni wakaidi. Watu hawa ni wakaidi na sio wajinga.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-5-9.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/watu-hawa-ni-wakaidi-na-sio-wajinga/