Swali: Mimi naswali, nafunga, nasoma Qur-aan na napambana ili niweze kutekeleza maamrisho ya Qur-aan na Sunnah. Lakini hata hivyo napata hisia za kwamba sifanyi haya isipokuwa ili kusemwe “huyu ni mtu wa dini”. Hisia hizi zinaweza kunifanya kuacha kufanya mambo fulani kwa kuchelea. Vipi nitajinasua na hili?
Jibu: Ni juu yako kutekeleza maamrisho ya Uislamu kwa kujisalimisha na maamrisho ya Allaah na kutaka thawabu zake. Puuzia wasiwasi unaokujia juu ya kwamba matendo yako haya ni kujionyesha. Pambana na wasiwasi huo kiasi na utakavyoweza.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/133)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Mimi naswali, nafunga, nasoma Qur-aan na napambana ili niweze kutekeleza maamrisho ya Qur-aan na Sunnah. Lakini hata hivyo napata hisia za kwamba sifanyi haya isipokuwa ili kusemwe “huyu ni mtu wa dini”. Hisia hizi zinaweza kunifanya kuacha kufanya mambo fulani kwa kuchelea. Vipi nitajinasua na hili?
Jibu: Ni juu yako kutekeleza maamrisho ya Uislamu kwa kujisalimisha na maamrisho ya Allaah na kutaka thawabu zake. Puuzia wasiwasi unaokujia juu ya kwamba matendo yako haya ni kujionyesha. Pambana na wasiwasi huo kiasi na utakavyoweza.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/133)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/wasiwasi-wa-kwamba-mtu-anajionyesha-katika-vitendo-vyake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)