Swali: Je, wasiwasi ni maradhi kwa njia ya kwamba mwenye wasiwasi akitumbukia katika kupetuka mipaka au kuchuja Sunnah anapewa udhuru?
Jibu: Hapana. Hapewi udhuru. Ameamrishwa kumfuata Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah zake. Dini iko wazi hakuna maze. Ni kwa nini asitilii umuhimu wa kujifunza Sunnah na yale waliyofuata Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah zake na yeye akayafuata?
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)