Swali: Kuna ambaye anaacha anausia kwamba aswaliwe Makkah au al-Madiynah au azikwe kwenye makaburi yayo. Ni ipi hukumu ya wasia kama huu? Je, ni lazima kuutekeleza?
Jibu: Wasia huu si lazima kuutekeleza. Lakini ikiwepesika kuutekeleza hakuna neno. Ni jambo linaloruhusu kukiwepesika. Lakini hata hivyo si lazima.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 23/08/2019
Swali: Kuna ambaye anaacha anausia kwamba aswaliwe Makkah au al-Madiynah au azikwe kwenye makaburi yayo. Ni ipi hukumu ya wasia kama huu? Je, ni lazima kuutekeleza?
Jibu: Wasia huu si lazima kuutekeleza. Lakini ikiwepesika kuutekeleza hakuna neno. Ni jambo linaloruhusu kukiwepesika. Lakini hata hivyo si lazima.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
Imechapishwa: 23/08/2019
https://firqatunnajia.com/wasia-wa-kuzikwa-miji-mitakatifu/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket