Swali: Baadhi ya nchi huchinja kuku kwa mshtuko wa umeme au kwa kunyonga. Mtu afanye nini ikiwa hapati njia nyingine isipokuwa hiyo? Je, anaweza kula nyama hiyo?
Jibu: Hapana, hiyo ni amekufa mwenyewe.
Swali: Je, ni lazima mtu awe na uhakika wa jambo hili?
Jibu: Ikiwa ni kutoka kwa wanyama waliyochinjwa na watu wa Kitabu, basi inajuzu kula, isipokuwa iwapo itathibitika kwake kwamba wamechinja kinyume na Shari´ah ya Kiislamu, kama vile kwa mshtuko wa umeme au njia nyingine isiyohalali. Lakini ikiwa ni kutoka kwa wanyama waliyochinjwa na waabudia moto au washirikina, basi inaharamika kabisa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25324/حكم-الاكل-مما-ذبح-بالصعق-او-الخنق
- Imechapishwa: 25/02/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)