Swali: Inafaa kwa wanawake kupiga makofi katika mnasaba wa ndoa na minasaba mingine?
Jibu: Sijafikiwa na kitu. Makusudio ni kutangaza ndoa. Kupiga makofi ni jambo la wanawake. Jambo ni sahali. Kupiga makofi ni kazi ya wanawake. Kutangaza ndoa ni jambo linalohitajika.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21696/حكم-تصفيق-النساء-في-مناسبات-الزواج
- Imechapishwa: 17/09/2022
Swali: Inafaa kwa wanawake kupiga makofi katika mnasaba wa ndoa na minasaba mingine?
Jibu: Sijafikiwa na kitu. Makusudio ni kutangaza ndoa. Kupiga makofi ni jambo la wanawake. Jambo ni sahali. Kupiga makofi ni kazi ya wanawake. Kutangaza ndoa ni jambo linalohitajika.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21696/حكم-تصفيق-النساء-في-مناسبات-الزواج
Imechapishwa: 17/09/2022
https://firqatunnajia.com/wanawake-kupiga-makofi-katika-mnasaba-wa-ndoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)