Swali: al-Hajjaawiy mwenye kitabu “Zaad-ul-Mustaqniy´” kwenye mlango ´Baab-ul-Murtad` ya kwamba mwenye kupinga sifa miongoni mwa sifa za Allaah (Ta´ala) anakuwa kafiri. Je, Ash´ariyyah ni makafiri?
Jibu: Akipinga kwa ujuzi na kuamini ilihali anajua kuwa ni sifa ya Allaah na akawa sio mwenye kufuata kipofu wala mjinga, anakufuru. Hili linawahusu wanachuoni wao ambao wanajua kuthibiti kwa sifa na wanajua maana yake na hawamfuati kipofu yeyote. Bali wao wenyewe ndio wamekanusha hilo kwa kukusudia, watu sampuli hii wanakufuru. Ama mwenye kufuata kipofu na mjinga, huyu anatiwa upotevuni na hakufurishwi. Wengi wao huwa hivo. Wengi wao hufuata kichwa mchunga.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-14.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: al-Hajjaawiy mwenye kitabu “Zaad-ul-Mustaqniy´” kwenye mlango ´Baab-ul-Murtad` ya kwamba mwenye kupinga sifa miongoni mwa sifa za Allaah (Ta´ala) anakuwa kafiri. Je, Ash´ariyyah ni makafiri?
Jibu: Akipinga kwa ujuzi na kuamini ilihali anajua kuwa ni sifa ya Allaah na akawa sio mwenye kufuata kipofu wala mjinga, anakufuru. Hili linawahusu wanachuoni wao ambao wanajua kuthibiti kwa sifa na wanajua maana yake na hawamfuati kipofu yeyote. Bali wao wenyewe ndio wamekanusha hilo kwa kukusudia, watu sampuli hii wanakufuru. Ama mwenye kufuata kipofu na mjinga, huyu anatiwa upotevuni na hakufurishwi. Wengi wao huwa hivo. Wengi wao hufuata kichwa mchunga.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-14.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/wanachuoni-wa-ashaairah-wanaopinga-sifa-za-allaah-%e2%80%82/