Swali: Je, ni lazima kumsimamishia hoja mwenye kufanya kitu kinachovunja Uislamu kabla ya kufanyiwa Takfiyr? Je, inajuzu kumtakia rehema akifa kabla ya kusimamikiwa na hoja?
Jibu: Ikiwa kuritadi kunahusiana na mambo ya wazi, kama kumshirikisha Allaah (´Azza wa Jall), kumtukana Allaah na Mtume Wake na mfano wa hayo, haya ni mambo ya wazi na hakuna ujinga ndani yake. Mambo kama haya ataambiwa atubie. Kama hakutubia anahukumiwa kuwa ameritadi na hivyo anauawa.
Kuhusiana na mambo yaliyojificha ambayo yanahitajia kubainishwa, haya ni lazima abainishiwe. Hahukumiwi kuritadi mpaka abainishiwe kwa kuwa ni mambo yaliyojificha kwake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-14.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Je, ni lazima kumsimamishia hoja mwenye kufanya kitu kinachovunja Uislamu kabla ya kufanyiwa Takfiyr? Je, inajuzu kumtakia rehema akifa kabla ya kusimamikiwa na hoja?
Jibu: Ikiwa kuritadi kunahusiana na mambo ya wazi, kama kumshirikisha Allaah (´Azza wa Jall), kumtukana Allaah na Mtume Wake na mfano wa hayo, haya ni mambo ya wazi na hakuna ujinga ndani yake. Mambo kama haya ataambiwa atubie. Kama hakutubia anahukumiwa kuwa ameritadi na hivyo anauawa.
Kuhusiana na mambo yaliyojificha ambayo yanahitajia kubainishwa, haya ni lazima abainishiwe. Hahukumiwi kuritadi mpaka abainishiwe kwa kuwa ni mambo yaliyojificha kwake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-14.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/hakuna-udhuru-katika-kutokujua-mambo-ya-kiislamu-ya-wazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)