Swali: Mume wangu amenitaliki talaka moja na akanirudi kwa maneno kabla ya eda kwisha wakati nilipokuwa kwa familia yangu. Nikakamilisha hedhi tatu kisha kukatokea Khul´ kwa Qaadhiy. Je, baada ya Kuhl´ nina eda nyingine?
Jibu: Ndio.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-21.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Mume wangu amenitaliki talaka moja na akanirudi kwa maneno kabla ya eda kwisha wakati nilipokuwa kwa familia yangu. Nikakamilisha hedhi tatu kisha kukatokea Khul´ kwa Qaadhiy. Je, baada ya Kuhl´ nina eda nyingine?
Jibu: Ndio.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-21.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-huyu-ana-eda-%e2%80%82/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)