Qur-aan inasemaje juu ya kipi kinachozunguka kati ya ardhi na jua?

Swali: Yanayosemwa na watu kuwa ardhi inazunguka jua.

Jibu: Watuthibitishie hili. Mujibu wa Qur-aan inaonyesha kuwa ardhi iko thabiti na kwamba Allaah ameisimamishia majibali na akaifanya ardhi kuwa imara. Haya ndio yaliyomo kwenye Qur-aan. Ikiwa wao wana kinachoenda kinyume na Qur-aan walete hoja. Hawawezi kuleta hoja zinazoenda kinyume na Qur-aan kwa hali yoyote.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-21.mp3
  • Imechapishwa: 19/08/2020