Swali: Je, inajuzu kuomba kwenye Sujuud kwa du´aa za Qur-aan? Kwa mfano maneno:
قَالَا رَبَّنَا ظَلَمْنَا أَنفُسَنَا وَإِن لَّمْ تَغْفِرْ لَنَا وَتَرْحَمْنَا لَنَكُونَنَّ مِنَ الْخَاسِرِينَ
“Wakasema: “Mola wetu! Tumedhulumu nafsi zetu na basi usipotusamehe na ukaturehemu, basi bila shaka tutakuwa miongoni mwa waliokhasirika.” (07:23)
na Aayah nyinginezo ambazo ziko na du´aa kutoka kwenye Qur-aan?
Jibu: Ni sawa kufanya hivo kwa kuwa makusudio yako sio kusoma Qur-aan. Bali makusudio yako ni kuomba du´aa. Haina neo kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-14.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Je, inajuzu kuomba kwenye Sujuud kwa du´aa za Qur-aan? Kwa mfano maneno:
قَالَا رَبَّنَا ظَلَمْنَا أَنفُسَنَا وَإِن لَّمْ تَغْفِرْ لَنَا وَتَرْحَمْنَا لَنَكُونَنَّ مِنَ الْخَاسِرِينَ
“Wakasema: “Mola wetu! Tumedhulumu nafsi zetu na basi usipotusamehe na ukaturehemu, basi bila shaka tutakuwa miongoni mwa waliokhasirika.” (07:23)
na Aayah nyinginezo ambazo ziko na du´aa kutoka kwenye Qur-aan?
Jibu: Ni sawa kufanya hivo kwa kuwa makusudio yako sio kusoma Qur-aan. Bali makusudio yako ni kuomba du´aa. Haina neo kufanya hivo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-14.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/duaa-za-qur-aan-kwenye-sujuud/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)