Swali: Mwanaume amemuoa mwanamke kisha wakapata kizazi na baadaye ikabaini kuwa walinyonya pamoja. Ni ipi hukumu ya watoto?
Jibu: Watoto ni wa mwanaume huyo na wao ni Mahram kwake. Baadaye ikibainika kuwa mke ni dada yake wa kunyonya au mama yake mdogo ni Mahram kwake. Watoto ni wake kutokana na shubuha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23530/ما-حكم-اولاد-زوجين-تبين-ان-بينهما-رضاعا
- Imechapishwa: 05/02/2024
Swali: Mwanaume amemuoa mwanamke kisha wakapata kizazi na baadaye ikabaini kuwa walinyonya pamoja. Ni ipi hukumu ya watoto?
Jibu: Watoto ni wa mwanaume huyo na wao ni Mahram kwake. Baadaye ikibainika kuwa mke ni dada yake wa kunyonya au mama yake mdogo ni Mahram kwake. Watoto ni wake kutokana na shubuha.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23530/ما-حكم-اولاد-زوجين-تبين-ان-بينهما-رضاعا
Imechapishwa: 05/02/2024
https://firqatunnajia.com/wamezaa-watoto-baada-ya-kubainika-kuwa-mume-alinyonya-na-mke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)