Swali: Vipi ikiwa imamu atataka kusoma Suurah al-A´raaf katika Maghrib?
Jibu: Bora ni kutofanya hivo, kwa sababu hilo linawapa uzito watu. Pengine Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya hivo kutokana na sababu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifupisha Maghrib.
Swali: Kwa hiyo bora ni kutofanya hivo?
Jibu: Bora ni kutofanya hivo ili asiwatie watu uzito. Haitambuliki kuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikariri. Hilo limepokelewa mara moja.
Swali: Kuna sababu?
Jibu: Pengine ni kutokana na sababu.
Swali: Kwa hiyo mtu hawezi kusema kuwa katika Sunnah ni kusoma Suurah al-A´raaf katika Maghrib?
Jibu: Haliko wazi. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Sunnah yake imethibiti kufupisha katika Maghrib.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23529/حكم-قراءة-سورة-الاعراف-في-صلاة-المغرب
- Imechapishwa: 05/02/2024
Swali: Vipi ikiwa imamu atataka kusoma Suurah al-A´raaf katika Maghrib?
Jibu: Bora ni kutofanya hivo, kwa sababu hilo linawapa uzito watu. Pengine Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya hivo kutokana na sababu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifupisha Maghrib.
Swali: Kwa hiyo bora ni kutofanya hivo?
Jibu: Bora ni kutofanya hivo ili asiwatie watu uzito. Haitambuliki kuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikariri. Hilo limepokelewa mara moja.
Swali: Kuna sababu?
Jibu: Pengine ni kutokana na sababu.
Swali: Kwa hiyo mtu hawezi kusema kuwa katika Sunnah ni kusoma Suurah al-A´raaf katika Maghrib?
Jibu: Haliko wazi. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Sunnah yake imethibiti kufupisha katika Maghrib.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23529/حكم-قراءة-سورة-الاعراف-في-صلاة-المغرب
Imechapishwa: 05/02/2024
https://firqatunnajia.com/sunnah-imamu-kusoma-al-araaf-maghrib/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)