Swali: Kuna mtu alimkopa mwenzake kiwango fulani cha pesa kisha baada ya hapo wakati wa kulipa akamzidishia pesa kidogo.
Ibn Baaz: Pasi na kumuwekea sharti?
Muulizaji: Pasi na kumuwekea sharti.
Jibu: Hapana vibaya. Wabora wa watu ni wale wabora wao katika kulipa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikopesha 30 akirudisha mpaka 60. Ikiwa hakushurutishiwa hapo awali hapana vibaya. Wabora wa watu ni wale wabora wao katika kulipa.
Swali: Ni kitu kisichoingia ndani ya Hadiyth inayosema:
“Mkopo wowote ambao unapelekea katika manufaa basi ni ribaa?”
Jibu: Hapana. Hapo ni pale ambapo mtu atawekewa sharti awali.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22128/حكم-الزيادة-في-رد-القرض-دون-شرط
- Imechapishwa: 31/10/2022
Swali: Kuna mtu alimkopa mwenzake kiwango fulani cha pesa kisha baada ya hapo wakati wa kulipa akamzidishia pesa kidogo.
Ibn Baaz: Pasi na kumuwekea sharti?
Muulizaji: Pasi na kumuwekea sharti.
Jibu: Hapana vibaya. Wabora wa watu ni wale wabora wao katika kulipa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikopesha 30 akirudisha mpaka 60. Ikiwa hakushurutishiwa hapo awali hapana vibaya. Wabora wa watu ni wale wabora wao katika kulipa.
Swali: Ni kitu kisichoingia ndani ya Hadiyth inayosema:
“Mkopo wowote ambao unapelekea katika manufaa basi ni ribaa?”
Jibu: Hapana. Hapo ni pale ambapo mtu atawekewa sharti awali.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22128/حكم-الزيادة-في-رد-القرض-دون-شرط
Imechapishwa: 31/10/2022
https://firqatunnajia.com/walipaji-bora/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)