Swali: Kuna mtu aliniuliza kuhusu hukumu ya kujitoa manii na nikawa nimemjibu kuwa nijuavyo ni kwamba ni haramu. Akaniomba dalili na nikawa sijui. Ni ipi dalili?
Jibu:
وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ
“Na ambao wanazihifadhi tupu zao. Isipokuwa kwa wake zao, au kwa iliyowamiliki mikono yao ya kuume basi hao hawalaumiwi.” (23:05-06)
Haikuhalalishwa kutumia tupu isipokuwa kwa mke au yule aliyemilikiwa na mikono ya kiume.
Yule mwenye kutoa manii kwa kutumia mkono, huyu ameufanya mkono wake kuwa ndio mke wake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (66) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-04-16.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Kuna mtu aliniuliza kuhusu hukumu ya kujitoa manii na nikawa nimemjibu kuwa nijuavyo ni kwamba ni haramu. Akaniomba dalili na nikawa sijui. Ni ipi dalili?
Jibu:
وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ
“Na ambao wanazihifadhi tupu zao. Isipokuwa kwa wake zao, au kwa iliyowamiliki mikono yao ya kuume basi hao hawalaumiwi.” (23:05-06)
Haikuhalalishwa kutumia tupu isipokuwa kwa mke au yule aliyemilikiwa na mikono ya kiume.
Yule mwenye kutoa manii kwa kutumia mkono, huyu ameufanya mkono wake kuwa ndio mke wake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (66) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-04-16.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/waliofanya-mikono-kuwa-wake-zao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)