Swali: Ni ipi hukumu ya baadhi ya walinganizi ambao wamekuwa ni wenye kujuzisha mchanganyiko, sherehe za kuzaliwa, wanawakemea watawala hadharani na wanasapoti maandamano kiasi cha kwamba baadhi ya vijana wenye msimamo wameathirika nao na wamekuwa ni wenye kuonekana wageni kati ya watu hawa kwa kufuata yale wasemayo wanachuoni wakubwa?
Jibu: Awe na subira juu ya ugeni na juu ya haki na wakati huohuo awabainishie watu makosa haya na atahadharishe nayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya baadhi ya walinganizi ambao wamekuwa ni wenye kujuzisha mchanganyiko, sherehe za kuzaliwa, wanawakemea watawala hadharani na wanasapoti maandamano kiasi cha kwamba baadhi ya vijana wenye msimamo wameathirika nao na wamekuwa ni wenye kuonekana wageni kati ya watu hawa kwa kufuata yale wasemayo wanachuoni wakubwa?
Jibu: Awe na subira juu ya ugeni na juu ya haki na wakati huohuo awabainishie watu makosa haya na atahadharishe nayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/walinganizi-wanaosapoti-maandamano/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)