Swali: Tunaomba Shaykh atubainishie hukumu ya watoto kuangalia katuni?
Jibu: Watoto wasilelewe kwa kuangalia katuni; picha za viumbe wenye roho. Ni haramu kuwalea juu ya mambo haya. Kuna michezo mingine isiyokuwa na mapicha. Awanunulie michezo hii watoto wao michezo isiyokuwa na mapicha na awashughulishe nayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Tunaomba Shaykh atubainishie hukumu ya watoto kuangalia katuni?
Jibu: Watoto wasilelewe kwa kuangalia katuni; picha za viumbe wenye roho. Ni haramu kuwalea juu ya mambo haya. Kuna michezo mingine isiyokuwa na mapicha. Awanunulie michezo hii watoto wao michezo isiyokuwa na mapicha na awashughulishe nayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/kuwalea-watoto-juu-ya-katuni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)