Swali: Takbiyr ya kwanza ya swalah ya jeneza kunasomwa nini na mtu asome du´aa ya kufungulia swalah, kuomba kinga dhidi ya shaytwaan, Basmalah kisha mtu asome al-Faatihah pamoja na Suurah nyingine?

Jibu: Swalah ya jeneza haina du´aa ya kufungulia swalah. Aanze kwa kuomba kinga dhidi ya shaytwaan kisha asome al-Faatihah.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
  • Imechapishwa: 21/06/2020