Swali: Takbiyr ya kwanza ya swalah ya jeneza kunasomwa nini na mtu asome du´aa ya kufungulia swalah, kuomba kinga dhidi ya shaytwaan, Basmalah kisha mtu asome al-Faatihah pamoja na Suurah nyingine?
Jibu: Swalah ya jeneza haina du´aa ya kufungulia swalah. Aanze kwa kuomba kinga dhidi ya shaytwaan kisha asome al-Faatihah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Takbiyr ya kwanza ya swalah ya jeneza kunasomwa nini na mtu asome du´aa ya kufungulia swalah, kuomba kinga dhidi ya shaytwaan, Basmalah kisha mtu asome al-Faatihah pamoja na Suurah nyingine?
Jibu: Swalah ya jeneza haina du´aa ya kufungulia swalah. Aanze kwa kuomba kinga dhidi ya shaytwaan kisha asome al-Faatihah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-jeneza-haina-istiaadhah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)