Swali: Tufanye nini wakati ambapo kunatokea fitina kati ya wanachuoni wa Ah-us-Sunnah wal-Jamaa´ah?
Jibu: Hakutotokea fitina kati ya wanachuoni wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Wanachuoni wanaojulikana hakutatokea fitina kati yao. Fitina hutokea kati ya wale wenye kujifanya kuwa wanachuoni au wale wenye kuanza kutafuta elimu. Watu sampuli hii ndio hutokea fitina kati yao kwa sababu ya uchache wa elimu yao. Ama kuhusu wanachuoni waliobobea hakutokea fitina kati yao na himdi zote ni za Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (77) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-11-19.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Tufanye nini wakati ambapo kunatokea fitina kati ya wanachuoni wa Ah-us-Sunnah wal-Jamaa´ah?
Jibu: Hakutotokea fitina kati ya wanachuoni wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Wanachuoni wanaojulikana hakutatokea fitina kati yao. Fitina hutokea kati ya wale wenye kujifanya kuwa wanachuoni au wale wenye kuanza kutafuta elimu. Watu sampuli hii ndio hutokea fitina kati yao kwa sababu ya uchache wa elimu yao. Ama kuhusu wanachuoni waliobobea hakutokea fitina kati yao na himdi zote ni za Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (77) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-11-19.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/walinganizi-sampuli-hii-ndio-hutokea-fitina-kati-yao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)