Swali: Je, mtu anaweza kusema kuwa jamaa (الآل) ni wake na kizazi kama ilivyokuja katika upokezi wa Abu Humayd?
Jibu: Wanaingia humo. Kama alivosema Allaah (Jalla wa ´Alaa):
أَدْخِلُوا آلَ فِرْعَوْنَ أَشَدَّ الْعَذَابِ
“Waingizeni watu wa Fir’awn katika adhabu kali kabisa.”[1]
Bi maana wafuasi wa Fir´awn. Wake na kizazi wanaingia katika jamaa. Hawaingii humo wale wasiokuwa miongoni mwao kama vile Abu Lahab, Abu Twaalib na wazazi wake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hawa hawaingii humo, kwa sababu sio katika waumini.
[1] 40:46
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23021/هل-المقصود-بالال-الازواج-والذرية
- Imechapishwa: 14/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)