Swali: Hadiyth inasema:
“Nimetazama Peponi na nimeona wakazi wake wengi ni mafukara.”
Ibn-ul-Qayyim ametaja kuwa fitina ya mali ni kubwa zaidi kuliko fitina ya shida na ufukara.
Jibu:
إِنَّمَا أَمْوَالُكُمْ وَأَوْلَادُكُمْ فِتْنَةٌ
”Hakika si venginevyo mali zenu na watoto wenu ni jaribio.”[1]
Swali: Je, hapo tunapata faida kuwa watiifu na wema mara nyingi wanakuwa ni mafukara ijapo wanapatikana matajiri wachache?
Jibu: Hivi ndio mara nyingi. Ni kama ilivyokuwa kwa Maswahabah.
[1] 64:15
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22203/هل-فتنة-المال-اعظم-من-فتنة-الفقر
- Imechapishwa: 05/11/2022
Swali: Hadiyth inasema:
“Nimetazama Peponi na nimeona wakazi wake wengi ni mafukara.”
Ibn-ul-Qayyim ametaja kuwa fitina ya mali ni kubwa zaidi kuliko fitina ya shida na ufukara.
Jibu:
إِنَّمَا أَمْوَالُكُمْ وَأَوْلَادُكُمْ فِتْنَةٌ
”Hakika si venginevyo mali zenu na watoto wenu ni jaribio.”[1]
Swali: Je, hapo tunapata faida kuwa watiifu na wema mara nyingi wanakuwa ni mafukara ijapo wanapatikana matajiri wachache?
Jibu: Hivi ndio mara nyingi. Ni kama ilivyokuwa kwa Maswahabah.
[1] 64:15
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22203/هل-فتنة-المال-اعظم-من-فتنة-الفقر
Imechapishwa: 05/11/2022
https://firqatunnajia.com/wakazi-wengi-wa-peponi-ni-mafukara/