Swali: Kuna mtu anafanyakazi na anaishi Makkah. Baada ya kumaliza hajj yake akataka kurudi Twaaif kwa ajili ya kuwatembelea wazazi wake. Je, anatakiwa kwanza kufanya Twawaaf-ul-Wadaa´?
Jibu: Ndio anatakiwa kufanya Twawaaf-ul-Wadaa´ bila shaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)