Swali: Nilivaa soksi asubuhi na nikawa nimepangusa juu yake wakati wa kutawadha kwa ajili ya kuswali Dhuhr. Ilipofika wakati wa ´Aswr nikavaa soksi nyingine juu yake. Je, inajuzu kwangu kupangusa kwenye zile soksi zilizoko juu?
Jibu: Hapana, ukianza kupangusa kwenye soksi kisha juu yake ukavaa zingine, unatakiwa kupangusa kwenye zile za kwanza ambazo ulianza kuvaa. Ukianza kupangusa juu yake na ukavaa juu yake zingine, usipanguse kwenye zile ambazo ziko juu. Unachotakiwa ni kupangusa kwenye zile za kwanza ambazo ulianza kupangusa juu yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (38) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-4_1.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Nilivaa soksi asubuhi na nikawa nimepangusa juu yake wakati wa kutawadha kwa ajili ya kuswali Dhuhr. Ilipofika wakati wa ´Aswr nikavaa soksi nyingine juu yake. Je, inajuzu kwangu kupangusa kwenye zile soksi zilizoko juu?
Jibu: Hapana, ukianza kupangusa kwenye soksi kisha juu yake ukavaa zingine, unatakiwa kupangusa kwenye zile za kwanza ambazo ulianza kuvaa. Ukianza kupangusa juu yake na ukavaa juu yake zingine, usipanguse kwenye zile ambazo ziko juu. Unachotakiwa ni kupangusa kwenye zile za kwanza ambazo ulianza kupangusa juu yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (38) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-4_1.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/wakati-wa-kuvaa-soksi-mbili-mtu-apanguse-zipi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)