Swali: Nikifungua katika swawm ya siku sita za Shawwaal kisha nikataka kuendelea kuzifunga katika mwezi huohuo – ni lini inaanza? Je, kuna tarehe maalum?
Jibu: Shawwaal yote ni wakati wa kufunga. Bora ni mtu kuiharakisha kabla ya kupatwa na vitu vya kumzuia. Ni mamoja kwa kufululiza au kwa kuachanisha. Ni sawa endapo atafunga mwishoni mwa mwezi au katikati yake. Suala hili ni lenye wasaa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule atakayefunga Ramadhaan kisha akaifuatishia [siku] sita za Shawwaal, basi anakuwa kama amefunga mwaka mzima.”[1]
Hakuweka kikomo mwanzoni mwake, katikati yake wala mwishoni mwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Allaah (Ta´ala) amesema:
وَعَجِلْتُ إِلَيْكَ رَبِّ لِتَرْضَىٰ
“Na nimeharakiza kukujia Mola wangu ili uridhike.”[2]
وَسَارِعُوا إِلَىٰ مَغْفِرَةٍ مِّن رَّبِّكُمْ
“Kimbilieni msamaha kutoka kwa Mola wenu.”[3]
فَاسْتَبِقُوا الْخَيْرَاتِ
”Basi shindaneni katika mambo ya kheri.”[4]
[1] Muslim (1164).
[2] 20:84
[3] 03:133
[4] 02:148
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/15599/وقت-صيام-الست-من-شوال
- Imechapishwa: 05/05/2022
Swali: Nikifungua katika swawm ya siku sita za Shawwaal kisha nikataka kuendelea kuzifunga katika mwezi huohuo – ni lini inaanza? Je, kuna tarehe maalum?
Jibu: Shawwaal yote ni wakati wa kufunga. Bora ni mtu kuiharakisha kabla ya kupatwa na vitu vya kumzuia. Ni mamoja kwa kufululiza au kwa kuachanisha. Ni sawa endapo atafunga mwishoni mwa mwezi au katikati yake. Suala hili ni lenye wasaa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule atakayefunga Ramadhaan kisha akaifuatishia [siku] sita za Shawwaal, basi anakuwa kama amefunga mwaka mzima.”[1]
Hakuweka kikomo mwanzoni mwake, katikati yake wala mwishoni mwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Allaah (Ta´ala) amesema:
وَعَجِلْتُ إِلَيْكَ رَبِّ لِتَرْضَىٰ
“Na nimeharakiza kukujia Mola wangu ili uridhike.”[2]
وَسَارِعُوا إِلَىٰ مَغْفِرَةٍ مِّن رَّبِّكُمْ
“Kimbilieni msamaha kutoka kwa Mola wenu.”[3]
فَاسْتَبِقُوا الْخَيْرَاتِ
”Basi shindaneni katika mambo ya kheri.”[4]
[1] Muslim (1164).
[2] 20:84
[3] 03:133
[4] 02:148
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/15599/وقت-صيام-الست-من-شوال
Imechapishwa: 05/05/2022
https://firqatunnajia.com/wakati-wa-kufunga-siku-sita-za-shawwaal/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)