Swali: Kunasemwa kwamba fatwa zinatofautiana kwa kutofautiana kwa wakati na mahali. Je, ni sahihi?
Jibu: Hapana. Fatwa hazitofautiani. Fatwa zimejengeka juu ya Qur-aan na Sunnah, katika kila wakati na mahali. Wakati na mahali hakuzibadilishi fatwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathoumaged05-03-1440h.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2019
Swali: Kunasemwa kwamba fatwa zinatofautiana kwa kutofautiana kwa wakati na mahali. Je, ni sahihi?
Jibu: Hapana. Fatwa hazitofautiani. Fatwa zimejengeka juu ya Qur-aan na Sunnah, katika kila wakati na mahali. Wakati na mahali hakuzibadilishi fatwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathoumaged05-03-1440h.mp3
Imechapishwa: 21/04/2019
https://firqatunnajia.com/wakati-na-mahali-hakuzibadilishi-fatwa/