Swali: Kuhusiana na mwanafunzi akisoma vitabu na maelezo yake kwenye kanda ya kusikiliza. Je, mtu kama huyu anazingatiwa kuwa ni katika watafutaji wa elimu?
Jibu: Atafaidika. Lakini hata hivyo hili halitoshelezi. Ni lazima kwake kuhudhuria mizunguko ya kielimu. Ni lazima kwake kuwauliza wanachuoni. Ni lazima kwake vilevile kusoma vitabu [kwa wanachuoni]. Lakini ikiwa hakupata urahisi wa kufanya hivo asikilize kanda zenye faida na anufaike kwayo, ahudhurie duruus, aulize juu ya yale yenye kumtatiza na awasiliane na wanachuoni. Ni lazima ajumuishe baina ya mambo yote haya. Asitosheke na kanda tu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4734
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Kuhusiana na mwanafunzi akisoma vitabu na maelezo yake kwenye kanda ya kusikiliza. Je, mtu kama huyu anazingatiwa kuwa ni katika watafutaji wa elimu?
Jibu: Atafaidika. Lakini hata hivyo hili halitoshelezi. Ni lazima kwake kuhudhuria mizunguko ya kielimu. Ni lazima kwake kuwauliza wanachuoni. Ni lazima kwake vilevile kusoma vitabu [kwa wanachuoni]. Lakini ikiwa hakupata urahisi wa kufanya hivo asikilize kanda zenye faida na anufaike kwayo, ahudhurie duruus, aulize juu ya yale yenye kumtatiza na awasiliane na wanachuoni. Ni lazima ajumuishe baina ya mambo yote haya. Asitosheke na kanda tu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4734
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/wajibu-kwa-mwanafunzi-anayenufaika-na-elimu-kwenye-kanda/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)