Swali: Tunasikia mara nyingi kuhusu wanachuoni wenye mwamko wa Kiislamu (الصحوة الإسلامية). Nini maana ya istilahi hii?
Jibu: Sijui lolote kuhusu mwamko. Hili ni neno jipya. Ina maana waislamu wameamka? Walikuwa wamelala hapo kabla? Ni istilahi mpya. Hatulitambui[1].
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf%2030-7-1434_01.mp3
- Imechapishwa: 24/06/2020
Swali: Tunasikia mara nyingi kuhusu wanachuoni wenye mwamko wa Kiislamu (الصحوة الإسلامية). Nini maana ya istilahi hii?
Jibu: Sijui lolote kuhusu mwamko. Hili ni neno jipya. Ina maana waislamu wameamka? Walikuwa wamelala hapo kabla? Ni istilahi mpya. Hatulitambui[1].
[1] Tazama 1344
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf%2030-7-1434_01.mp3
Imechapishwa: 24/06/2020
https://firqatunnajia.com/waislamu-wamelala-na-kuamka/