Swali: Ni ipi dalili ya kujuzu kuomba msaada kutoka kwa kafiri juu ya kumpiga vita kafiri?
Jibu: Dalili zinaonesha kutojuzu kuomba msaada kutoka kwa kafiri. Haijuzu kuomba msaada kutoka kwa kafiri. Isipokuwa tu pale ambapo tutaogopa [sauti haiko wazi] na nguvu za makafiri. Katika hali hii ni sawa kuomba msaada wale ambao wanaweza kuzuia shari yao kutoka kwa watu wao. Hili linakuwa wakati wa dharurah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/hadist%20fitan-17-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Ni ipi dalili ya kujuzu kuomba msaada kutoka kwa kafiri juu ya kumpiga vita kafiri?
Jibu: Dalili zinaonesha kutojuzu kuomba msaada kutoka kwa kafiri. Haijuzu kuomba msaada kutoka kwa kafiri. Isipokuwa tu pale ambapo tutaogopa [sauti haiko wazi] na nguvu za makafiri. Katika hali hii ni sawa kuomba msaada wale ambao wanaweza kuzuia shari yao kutoka kwa watu wao. Hili linakuwa wakati wa dharurah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/hadist%20fitan-17-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/waislamu-kuwatumia-makafiri-kuwapiga-vita-makafiri-wengine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)