Swali: Ni ipi hukumu mwanamke mwenye hedhi kukaa Msikitini kwa ajili ya kuhudhuria duruus za kielimu?
Jibu: Hapana. Haijuzu kwa mwenye hedhi kukaa Msikitini, sawa ikiwa ni kwa ajili ya duruus au mengine. Ikiwa kusikiliza kufuatilia duruus azifuatilie kupitia vipaza sauti au mkanda.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/hadist%20fitan-17-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Ni ipi hukumu mwanamke mwenye hedhi kukaa Msikitini kwa ajili ya kuhudhuria duruus za kielimu?
Jibu: Hapana. Haijuzu kwa mwenye hedhi kukaa Msikitini, sawa ikiwa ni kwa ajili ya duruus au mengine. Ikiwa kusikiliza kufuatilia duruus azifuatilie kupitia vipaza sauti au mkanda.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/hadist%20fitan-17-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-mwenye-hedhi-kuhudhuria-msikitini-kwa-ajili-ya-darsa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)