Swali: Watu siku ya ´Iyd huambizana:
تقبل الله منا ومنكم الأعمال الصالحة
“Allaah atutakabalie matendo yetu mema sisi na nyinyi.”
Je, si ni bora mtu aombe du´aa ya kukubaliwa matendo yote? Je, kuna du´aa iliyowekwa katika Shari´ah katika mnasaba kama huu?
Jibu: Hapana neno muislamu akamwambia nduguye siku ya ´Iyd au siku nyingine:
تقبل الله منا ومنك أعمالنا الصالحة
“Allaah atutakabalie matendo yetu mema sisi na nyinyi.”
Sitambui juu ya hili kitu maalum. Hakika si venginevyo muumini amwombee ndugu yake du´aa nzurinzuri kutokana na dalili nyingi zilizopokelewa juu ya hilo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (13/25)
- Imechapishwa: 30/04/2022
Swali: Watu siku ya ´Iyd huambizana:
تقبل الله منا ومنكم الأعمال الصالحة
“Allaah atutakabalie matendo yetu mema sisi na nyinyi.”
Je, si ni bora mtu aombe du´aa ya kukubaliwa matendo yote? Je, kuna du´aa iliyowekwa katika Shari´ah katika mnasaba kama huu?
Jibu: Hapana neno muislamu akamwambia nduguye siku ya ´Iyd au siku nyingine:
تقبل الله منا ومنك أعمالنا الصالحة
“Allaah atutakabalie matendo yetu mema sisi na nyinyi.”
Sitambui juu ya hili kitu maalum. Hakika si venginevyo muumini amwombee ndugu yake du´aa nzurinzuri kutokana na dalili nyingi zilizopokelewa juu ya hilo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (13/25)
Imechapishwa: 30/04/2022
https://firqatunnajia.com/waislamu-kupongezana-siku-ya-iyd/